MADEREVA BINAFSI, MADEREVA MALORI WAUNGANA NA MATATU KATIKA MGOMO WA KITAIFA JUMATATU TAREHE 2...

  Muungano wa Wamiliki wa Matatu (MOA) umetishia kuitisha mgomo wa kitaifa Jumatatu, tarehe 2 Februari, endapo serikali haitachukua hatua kukabili ongezeko la visa vya...

Douglas Omariba Aasi Ukapera

Mkuu wa idhaa ya Biblia Husema Broadcasting Douglas Omariba amefunga ndoa katika hafla ya kufana iliyoandaliwa Ijumaa tarehe 19 Disemba 2025. Katika hafla iliyohudhuriwa...

Nyaribo nje, bunge la kaunti lamtimua.

Gavana wa kaunti ya Nyamira Amos Nyaribo amebanduliwa uongozini kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya mamlaka. Katika kikao cha Jumanne tarehe 25 Novemba 2025...

Tume ya IEBC Yaatoza faini wagombea wa Kasipul Boyd Were na Philip Aroko ya...

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) imewatoza faini ya Shilingi milioni moja wagombeaji wa kiti cha ubunge wa Kasipul Boyd Were na...

Mahakama Yasitisha Mchakato wa Uajiri wa Makurutu wa Polisi.

Mahakama ya ajira imefutilia mbali mchakato wa usajili wa makurutu 10,000 wa polisi. Kwa mujibu wa Jaji Hellen Wasilwa Tume ya huduma za polisi...

Mwanariadha aaga dunia baada ya kurejea kutoka Uturuki.

Mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya ya Para-Badminton, Japheth Kakai Kitela, ameaga dunia, familia yake imethibitisha. Akizungumza Alhamisi, Oktoba 30, jijini Nairobi, Makamu wa...

Mtawa Aliyekuwa Akizuiliwa Kuhusiana na Mauaji Sasa Kuwa Shahidi wa Serikali

Mtawa wa Kanisa Katoliki, Caroline Kanjiru, ambaye awali alizuiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya mwenzake, sasa ameondolewa lawama na anatarajiwa...

Washukiwa wa ulanguzi wa dawa za kulevya wazuiliwa kwa siku 30.

Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa imeamuru kuzuiliwa kwa siku 30 washukiwa sita wa ulanguzi wa dawa za kulevya zenye dhamani ya shilingi bilioni 8. Hii...

Tushirikiane na serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, maaskofu wa AIC warai wakenya.

Maaskofu wa kanisa la Africa Inland Church (AIC) nchini Kenya, chini ya mwavuli wa baraza kuu wametoa wito kwa wakenya kushirikiana na serikali tawala...

FAMILIA ZA WALIOPIGWA RISASI KASARANI ZALILIA HAKI

Wakiwa bado wanakumbwa na mshtuko na huzuni kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Raila Amolo Odinga, waombolezaji walifurika katika Uwanja wa Michezo wa...