Mahakama Yasitisha Mchakato wa Uajiri wa Makurutu wa Polisi.

Mahakama ya ajira imefutilia mbali mchakato wa usajili wa makurutu 10,000 wa polisi. Kwa mujibu wa Jaji Hellen Wasilwa Tume ya huduma za polisi...

Mwanariadha aaga dunia baada ya kurejea kutoka Uturuki.

Mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya ya Para-Badminton, Japheth Kakai Kitela, ameaga dunia, familia yake imethibitisha. Akizungumza Alhamisi, Oktoba 30, jijini Nairobi, Makamu wa...

Mtawa Aliyekuwa Akizuiliwa Kuhusiana na Mauaji Sasa Kuwa Shahidi wa Serikali

Mtawa wa Kanisa Katoliki, Caroline Kanjiru, ambaye awali alizuiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya mwenzake, sasa ameondolewa lawama na anatarajiwa...

Washukiwa wa ulanguzi wa dawa za kulevya wazuiliwa kwa siku 30.

Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa imeamuru kuzuiliwa kwa siku 30 washukiwa sita wa ulanguzi wa dawa za kulevya zenye dhamani ya shilingi bilioni 8. Hii...

Tushirikiane na serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, maaskofu wa AIC warai wakenya.

Maaskofu wa kanisa la Africa Inland Church (AIC) nchini Kenya, chini ya mwavuli wa baraza kuu wametoa wito kwa wakenya kushirikiana na serikali tawala...

FAMILIA ZA WALIOPIGWA RISASI KASARANI ZALILIA HAKI

Wakiwa bado wanakumbwa na mshtuko na huzuni kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Raila Amolo Odinga, waombolezaji walifurika katika Uwanja wa Michezo wa...

Mahakama Kutoa Uamuzi Kuhusu Shughuli ya Usajili wa Makurutu

Mahakama Jumanne tarehe 21 Oktoba, 2025 inatarajiwa kutoa mwelekeo kuhusu shughuli ya usajili wa makurutu elfu 10 kote nchini uliokuwa uanze Oktoba tarehe 3,2025. Mahakama...

Msajili mpya wa vyama vya kisiasa aapishwa

John Cox Lorionokou ameapishwa rasmi Jumatatu tarehe 13 Oktoba 2025 kuwa msajili mpya wa vyama vya kisiasa. Cox aliyeteuliwa na rais William Ruto mapema mwezi...

Dereva wa mbunge apatikana na hatia ya kuvunja sheria za trafiki

Mahakama imemtoza faini ya shilingi laki moja dereva wa mbunge wa Kibra Peter Orero, George Oduor kwa kosa la kukiuka sheria za trafiki. Hii ni...

Serikali Imekuwa Ikikopa Shilingi bilioni 5.9 kila wiki Ripoti Yafichua.

Serikali imekuwa ikikopa wastani wa shilingi bilioni 5.9 kila wiki kwa kipindi cha miezi minne iliyopita. Hii ni kulingana na takwimu mpya iliyotolewa na hazina...