GACHAGUA ATAKA SERIKALI KUJIBU MASWALI KUHUSU MAUAJI YA MWANAHARAKATI MOLO
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amelaani mauaji ya mwanaharakati na mwanasiasa kutoka Molo Richard Otieno ambaye aliuwawa kwa kukatwakatwa kwa shoka na watu...
GACHAGUA: SERIKALI INATUMIA KUNDI LA MUNGIKI KUNIKABILI KISIASA
Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua ameilaumu serikali ya Kenya Kwanza baada ya machafuko kuzuka katika hafla ya maombi iliyoandaliwa na mkewe Dorcas Rigathi...
BUNGEI AHAMISHWA KATIKA MAGEUZI MAKUU KWENYE IDARA YA POLISI
Adamson Bungei ameondolewa kutoka kwa wadhfa wake wa kamanda wa Polisi jijini Nairobi katika mageuzi ya hivi punde kwenye uongozi wa polisi humu nchini....
RAIS WILLIAM RUTO AOMBOLEZA MAMA WA NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA MERU
Rais William Ruto ameifariji familia ya Naibu Gavana wa Meru Isaac M'Ethingia kufuatia kifo cha mamake.
Katika ujumbe wake wa rambirambi, Rais amemuomboleza ...
SHIRIKA LA KIRAIA LATAKA RAIS RUTO ATIMULIWE; WETANGULA KUCHUKUA URAIS KWA MUDA
Shirika moja la kiraia limetoa wito kwa bunge la Kitaifa na lile la Seneti kumng'atua afisini Rais William Ruto na Utawala wa Kenya Kwanza...
RAIS WILLIAM RUTO ARAIWA KUWAFUTA KAZI INSPEKTA JENERALI NA MKUU WA DCI .
Wito wa Uwajibikaji kuhusu visa vya utekaji nyara na kutoroshwa kwa lazima kwa wakosoaji wa serikali unazidi kushika kasi; Shirika la Justice and Equality...
WAKENYA 149,000 WAMEONDOKA NCHINI KUSAKA AJIRA UGHAIBUNI.
Zaidi ya wakenya 149,000 wamefanikiwa kupata ajira katika mataifa ya Ughaibuni chini ya miaka miwili iliyopita.
Haya yamebainishwa na msemaji wa serikali Dkt...
KINDIKI APONGEZA RUTO KWA KUZUNGUMZA NA UHURU KENYATTA
Naibu Rais Kithure Kindiki amempongeza Rais William Ruto kwa kufanya kazi kwa pamoja na aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa...
MUNIKASHIFU LAKINI MUSISEME UONGO – RAIS AONYA WANAOMKOSOA MITANDAONI
Rais William Ruto amewasihi Wakenya kushiriki katika ukosoaji wa maana unaozingatia ukweli hata wanapopinga sera na miradi inayotekelezwa na utawala wake.
Rais Ruto, ambaye alikuwa...
VISA ZAIDI VYA MPOX VYAREKODIWA HUMU NCHINI
Wizara ya Afya imetangaza kugunduliwa kwa wagonjwa wapya watano wa Mpox na kufikisha jumla ya angalau 28.
Kesi hizo mpya, kulingana na Waziri Deborah Barasa,...