“Hakuna vita kati ya mfalme na nabii” Kindiki ahimiza ushirikiano baina ya kanisa na...

Naibu Rais Kithure Kindiki amesihi viongozi wa makanisa kurekebisha serikali kwa upendo. Akizungumza wakati wa kongamano la Africa Revival Agenda Conference katika ukumbi wa kimataifa...

“Maisha yangu yako hatarini”- Gachagua adai

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua kwa mara nyingine amezua madai ya jaribio la kumuangamiza na kuwadhuru wanafamilia yake. Katika taarifa yake kwa Inspekta Jenerali...

Gavana Wamatangi atiwa mbaroni na maafisa wa EACC

Maafisa wa upelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Jumatano waliripotiwa kumkamata Gavana wa Kiambu Kimani Wamatangi kuhusiana na madai ya...

Rais Ruto apongeza jukumu la Wachungaji katika jamii

Rais William Ruto amepongeza jukumu la viongozi wa kidini katika jamii, akisema kuwa ni nguzo muhimu katika kudumisha maadili. Rais ametoa matamshi hayo wakati...

Mwangangi ateuliwa afisa mkuu mtendaji wa SHA

Katibu msaidizi (CAS) wa zamani katika wizara ya afya Dr. Mercy Mwangangi ameteuliwa kuwa afisa mkuu mtendaji wa mamlaka ya afya ya jamii (SHA). Uteuzi...

Viongozi wa Dini walaani vurugu katika uchaguzi wa ODM mashinani

Viongozi wa kidini katika kaunti ya Migori wamekashifu vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa uchaguzi wa mashinani wa chama cha ODM. Viongozi hao wamesema hulka ya...

Spika Wetangula awaadhibu wabunge waliopigana bungeni.

Spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula amempiga marufuku ya siku tisini na kumzuia mbunge wa bunge la Afrika Mashariki (EALA) Falhada Iman kuingia...

Mshukiwa wa mauaji chuoni MMU azuiliwa kwa siku 21

Erick Mutinda, mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi mwenzake wa chuo kikuu cha Multimedia (MMU) atazuiliwa kwa siku 21 ili kuwezesha polisi kukamilisha uchunguzi. Mutinda alikamatwa...

Kamati ya ukaguzi wa madeni ya NHIF yazinduliwa

Waziri wa Afya Aden Duale amezindua rasmi kamati itakayokagua madeni ya bima ya zamani ya afya (NHIF).  Kamati hiyo iliyozinduliwa Jumatatu ina jukumu la kukagua...
Gari lililoharibika kufuatia ajali barabarani

Watu wanne wa familia moja wafariki kwenye ajali ya barabarani Siaya

Watu wanne wa familia moja wamefariki katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari aina ya saloon na basi la shule katika eneo la Kagoya, barabara...