Mkutano wa baraza la kuu la UN waanza leo jijini New York

0
Wide view of the Hall during the opening of the meeting. 86th plenary meeting Election of five non-permanent members of the Security Council [item 112(a)] (a) By-election (A/71/896) (b) Election of five non-permanent members of the Security Council

Rais Uhuru Kenyatta ni miongoni mwa Marais ambao wanatazamiwa kuhudhuria mkutano wa 75 wa baraza kuu la umoja wa mataifa unaongoa nanga leo.

Mkutano huo ambao unaandaliwa jijini New York, Marekani utafanyika kwa njia ya mtandao kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

Mkutano huo utajadili janga la corona, mabadiliko ya hali ya anga, umaskini, njaa na ugaiid ni miongoni mwa yale ambayo yatajadiliwa.

Viongozi wa kudumu wa baraza la usalama la umoja wa mataifa akiwemo Rais wa Marekani Donald Trump na Xi Jinping wa Uchina watatoa hotuba yao.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here