Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers

Author: Felix Asoha

  • Home
  • Felix Asoha

Kesi ya ndugu wawili wa Kionjokoma yatajwa kama ya dharura

August 27, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kesi ya ndugu wawili wa Kionjokoma yatajwa kama ya dharura

Mahakama kuu imetaja kama dharura ombi la Polisi sita kutaka miili ya ndugu wawili waliouawa Kianjokoma, kaunti ya Embu kufufuliwa. […]

Courts/ Mahakama

Kenya yaripoti maambukizi mapya 932 ya ugonjwa wa corona

August 27, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kenya yaripoti maambukizi mapya 932 ya ugonjwa wa corona

Maambukizi mapya 932 ya ugonjwa wa corona yamedhibitishwa nchini baada ya kupima sampuli 9,424. Kiwango cha maambukizi nchini kimeshuka na […]

Health/ Afya

Ruto apokonywa walinzi

August 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Ruto apokonywa walinzi

Naibu rais William Ruto amenyanganywa walinzi wake. Maafisa wa GSU waliokuwa wanalinda makaazi ya Ruto Karen, Nairobi na nyumbani kwake […]

Security/Usalama

Kamati ya BBI kuelekea katika mahakama ya upeo

August 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kamati ya BBI kuelekea katika mahakama ya upeo

Kamati ya BBI imesema itaunga mkono rufaa ya mwanasheria mkuu Paul Kihara katika mahakama ya upeo kuhusu mchakato wa kurekebisha […]

Politics/Siasa

Polisi walioshtakiwa kwa kuwaua ndugu wawili wa Kianjokoma wapinga kushtakiwa kwao

August 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Polisi walioshtakiwa kwa kuwaua ndugu wawili wa Kianjokoma wapinga kushtakiwa kwao

Maafisa sita wa Polisi wanaohusishwa na mauaji ya ndugu wawili wa Kianjokoma kaunti ya Embu wamewasilisha kesi mahakamani kuzuia kushtakiwa kwao. Kupitia […]

Courts/ Mahakama

Watu tisa wafariki baada ya kuangukiwa na mashine Kilimani, Nairobi

August 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Watu tisa wafariki baada ya kuangukiwa na mashine Kilimani, Nairobi

Watu tisa wamefariki baada ya kuangukiwa na mashine ya ujenzi katika eneo la Kilimani, Nairobi. OCPD wa Kilimani Andrew Mbogo […]

Death/ Vifo

Matiang’i awashauri vijana kabla ya 2022

August 25, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Matiang’i awashauri vijana kabla ya 2022

Waziri wa Usalama wa ndani Fred Matiang’i ametoa wito kwa vijana kukataa kutumiwa na wanasiasa kuzua vurugu haswa msimu wa […]

Politics/Siasa

Equity Bank yamruka Ruto kumhusu Aydin

August 25, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Equity Bank yamruka Ruto kumhusu Aydin

Benki ya Equity imekana madai yaliyotolewa na naibu rais William Ruto kwamba ilimpatia mkopo wa shilingi billion kumi na tano […]

Parliament/Bunge

IPOA yachunguza mauji Kahawa West wakati wa maandamano

August 25, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on IPOA yachunguza mauji Kahawa West wakati wa maandamano

Mamlaka ya kumulika utendakazi wa Polisi (IPOA) imeanzisha uchunguzi kufuatia mauji yanayodaiwa kutekelezwa na Polisi wakati wa maandamano mtaani Kahawa […]

Security/Usalama

Kenya yarekodi maambukizi mapya 1,258 ya corona

August 25, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kenya yarekodi maambukizi mapya 1,258 ya corona

Kenya imedhibitisha maambukizi mapya 1,258 ya ugonjwa wa corona baada ya kupima sampuli 9,868. Hii inafikisha 232,052 idadi ya visa […]

Health/ Afya

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga

    Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia kuwasilisha kesi maha...

  • Devolution/ Ugatuzi , Politics/Siasa MSWADA WA FEDHA WA 2023 NI WA MANUFAA KWA WANANCHI – RAIS RUTO

    Rais William Ruto amewataka wabunge kuunga mkono Mswada wa Fedha wa 2023. &...

  • Blog James Mahmi Arejea Truth FM

    Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Kituo Cha Truth FM.&nb...

  • Security/Usalama Tuwalinde watoto – Odinga awasihi wakenya

    Aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ametoa wito kwa wakenya kushirikiana kum...

  • RAILA MAANDAMANO
    Parliament/Bunge , Politics/Siasa MUUNGANO WA AZIMIO KUANDAA MKUTANO KATIKA UWANJA WA KAMKUNJI

    Muungano wa Azimio la umoja hii leo inatarajiwa kuandaa mkutano wa hadhara...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia k... 1.01 views per day
  • MSWADA WA FEDHA WA 2023 NI WA MANUFAA KWA WANANCHI – RAIS RUTO Rais William Ruto amewataka wabunge kuunga mkono Mswada... 1.01 views per day
  • James Mahmi Arejea Truth FM Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Ki... 0.86 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers