Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers

Author: Felix Asoha

  • Home
  • Felix Asoha

Uhuru yuko Marekani kwa ziara rasmi

October 11, 2021October 11, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Uhuru yuko Marekani kwa ziara rasmi

Rais Uhuru Kenyatta yuko mjini New York, Marekani kwa ziara rasmi ya siku mbili. Rais ameratibiwa kuongoza mkutano wa ngazi […]

International/ Kimataifa

IEBC yampata naibu mwenyekiti mpya

September 15, 2021September 15, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on IEBC yampata naibu mwenyekiti mpya

Tume ya uchaguzi na mipaka nchini (IEBC) imemteua Juliana Cherera kuwa naibu mwenyekiti mpya. Mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati […]

Politics/Siasa

Uhuru amtuma Matiang’i Zambia kupeleka ujumbe maalum

September 2, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Uhuru amtuma Matiang’i Zambia kupeleka ujumbe maalum

Rais Uhuru Kenyatta amemtuma waziri wa usalama wa ndani Dkt. Fred Matiang’i kupeleka ujumbe maalum kwa rais mpya wa Zambia […]

International/ Kimataifa, Politics/Siasa

Polisi sita wakana mashtaka ya mauji

September 2, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Polisi sita wakana mashtaka ya mauji

Maafia sita wa Polisi wameshtakiwa kwa mauji ya ndugu wawili wa Kianjokoma wameshtaka kwa mauji.  Hata hivyo wamekanusha mashtaka mbele […]

Courts/ Mahakama

Polisi kwa mauji ya ndugu wa Kianjokoma kula kiapo

August 31, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Polisi kwa mauji ya ndugu wa Kianjokoma kula kiapo

Mahakama imeagiza Polisi SITA waliokamatwa kuhusiana na mauaji ya ndugu wawili wa Kianjokoma kaunti ya Embu wakule kiapo. Jaji Daniel […]

Courts/ Mahakama

Bunge kuandaa kikao maalum kuwahusu makamishna wa IEBC, TSC

August 30, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Bunge kuandaa kikao maalum kuwahusu makamishna wa IEBC, TSC

Wabunge wameitwa kwenye kikao maalum Jumatano hii kuidhinisha majina ya makamishna wateule wa tume ya uchaguzi (IEBC). Karani wa bunge […]

Parliament/Bunge

Tume ya jinsia yaadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa

August 30, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Tume ya jinsia yaadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa

Tume ya usawa wa jinsia nchini (NGEC) imeadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa kwake kushinikiza kuwepo kwa usawa katika nafasi za […]

Devolution/ Ugatuzi, Politics/Siasa

Chanjo ya corona inatolewa bure yasema serikali

August 30, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Chanjo ya corona inatolewa bure yasema serikali

Hakuna yeyote anayeruhusiwa kutoa chanjo ya corona mbali na wizara ya afya ameonya waziri Mutahi Kagwe. Huku akitoa wito kwa […]

Health/ Afya

Muungano wa NASA wakufa rasmi

August 27, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Muungano wa NASA wakufa rasmi

Msajili wa vyama vya kisiasa Ann Nderitu amedhibitisha kuondoa muungano wa NASA kwenye sajili yao, kumaanisha kuwa muungano haupo tena. […]

Politics/Siasa

Viongozi wa kanisa wataka patanisho baina ya Uhuru na Ruto

August 27, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Viongozi wa kanisa wataka patanisho baina ya Uhuru na Ruto

Viongozi wa kidini wanamtaka rais Uhuru Kenyatta kupatana na naibu wake William Ruto kwa manufaa ya amani ya taifa hili. […]

Politics/Siasa

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga

    Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia kuwasilisha kesi maha...

  • Devolution/ Ugatuzi , Politics/Siasa MSWADA WA FEDHA WA 2023 NI WA MANUFAA KWA WANANCHI – RAIS RUTO

    Rais William Ruto amewataka wabunge kuunga mkono Mswada wa Fedha wa 2023. &...

  • Blog James Mahmi Arejea Truth FM

    Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Kituo Cha Truth FM.&nb...

  • Security/Usalama Tuwalinde watoto – Odinga awasihi wakenya

    Aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ametoa wito kwa wakenya kushirikiana kum...

  • RAILA MAANDAMANO
    Parliament/Bunge , Politics/Siasa MUUNGANO WA AZIMIO KUANDAA MKUTANO KATIKA UWANJA WA KAMKUNJI

    Muungano wa Azimio la umoja hii leo inatarajiwa kuandaa mkutano wa hadhara...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia k... 1.01 views per day
  • MSWADA WA FEDHA WA 2023 NI WA MANUFAA KWA WANANCHI – RAIS RUTO Rais William Ruto amewataka wabunge kuunga mkono Mswada... 1.01 views per day
  • James Mahmi Arejea Truth FM Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Ki... 0.86 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers