IGAD YAONGEZA NCHI KATIKA UTATUZI WA MASUALA NCHINI SUDAN

IGAD YAONGEZA NCHI KATIKA UTATUZI WA MASUALA NCHINI SUDAN

Kenya imekaribisha upanuzi wa kundi la Mamlaka ya Ushirikiano wa Serikali wa Maendeleo ya nchi za Upembe wa Afrika (IGAD) ...
Read More

AFUENI KWA AMADI BAADA YA MAHAKAMA KUBATILISHA AMRI YA KUFUNGWA KWA AKAUNTI ZAKE ZA BENKI

Msajili wa mahakama Ann Amadi sasa anaweza kutumia akaunti zake zilizokuwa zimefungwa mwezi uliopita kufuatia kesi ya sakata ya dhahabu ...
Read More
CAS Itumbi akiwa mahakamani

MAHAKAMA YAMUONDOLEA ITUMBI MASHTAKA KATIKA KESI YA NJAMA YA KUMUUA RAIS RUTO

*Mahakama ya Milimani imeridhia ombi la Mkurugenzi wa mashtaka ya umma (DPP) la kumwondolea kesi inayomkabili katibu mwandamizi katika wizara ...
Read More
Gavana sakaja akutana na Waziri wa Elimu Machogu

SERIKALI KUTOA CHAKULA CHA MCHANA BILA MALIPO KATIKA SHULE ZA MSINGI ZA NAIROBI

Watoto kutoka jamii maskini katika Kaunti ya Nairobi wanatazamiwa kufaidika na chakula cha mchana bila malipo, kwa hisani ya serikali ...
Read More

KENYA IMEMAKINIKA KUKARIBISHA VIWANDA ZAIDI VYA KUUNDA MAGARI

Kenya imejitolea kukaribisha viwanda zaidi vya kuunda magari ili kuongeza utengenezaji wa magari mapya nchini.  Rais William Ruto alisema Sera ...
Read More