RAIS RUTO AKUTANA NA WAKENYA WANAOISHI GHANA

RAIS RUTO AKUTANA NA WAKENYA WANAOISHI GHANA

Rais William Ruto usiku wa kuamkia leo amehutubia wakenya wanaoishi katika taifa la Ghana wakati wa tafrija speheli iliyoandaliwa kwa minajjili yake. Mkuu wa Nchi...
AFISA WA TRAFIKI ADUMISHA USALAMA BARABARANI

NTSA ITAKUTIA MBARONI IWAPO HAUTATUMIA DARAJA LA KUVUKIA BARABARANI

Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani(N.T.S.A) imetahadharisha wakenya hasa wanaoetembea kwa miguu dhidi ya kuvunja sheria za trafiki.  Kupitia akaunti yao ya mtandao wa...

TAASISI ZA SERIKALI KUAGIZWA KUPUNGUZA MATUMIZI

Serikali imeagiza wizara zote, idara, taasisi na asasi za umma kupunguza matumizi ya fedha maramoja. Kupitia kwa taarifa, mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei...

SERIKALI ITACHUKUA KWA LAZIMA SHAMBA LA SHAKAHOLA

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amedokeza serikali itatwaa sehemu ya msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi ambapo miili ya watu 429 imefukuliwa...
LAMU COMMISIONER RONO

KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU LOUIS RONO AAGA DUNIA

Kamishna wa Kaunti ya Lamu Loius Rono ameiga dunia; ametangaza waziri wa usalama Kindiki Kithure. Katika taarifa yake, Kindiki amesema Rono alitumikia nchi kwa uzalendo...
PRESIDENT RUTO AND CJ KOOME

JAJI MKUU KOOME APUUZILIA MATAMSHI YA RUTO KUHUSU MAKUBALIANO NA MAHAKAMA

Jaji mkuu Martha Koome ameitetea idara ya mahakama akisema kuwa hakuna maelewano yoyote kati ya serikali kuu na idara ya mahakama kama alivyotangaza Rais...

ELIJAH OBEBO APENDEKEZWA KUWA NAIBU GAVANA WA KISII

Gavana wa Kaunti ya Kisii Paul Simba Arati amempendekeza Elijah Obebo kuteuliwa kama Naibu Gavana baada ya kutimuliwa kwa Dr. Richard Monda.  Obebo kwa...

RAIS RUTO ATIA SAINI USHURU WA NYUMBA KUWA SHERIA

  Rais William Ruto ametia saini mswaada wa marekebisho ya sheria ya ujenzi wa Nyumba za bei nafuu iliyopitishwa na mabunge yote mawili na kuidhinisha...

MURKOMEN ATAKA FIDIA KUTOKA KWA CHERARGEI KWA KUMHARIBIA JINA

Waziri wa Barabara na Uchukuzi Kipchumba Murkomen ameelekea mahakamani kumshatiki seneta wa kaunti ya Nandi Samson Cherargei kwa kumharibia jina. Waziri Murkomen anadai kuwa matamshi...

RUTO KWA KRA: MUSITOE LESENI KWA WAAGIZAJI WA POMBE HARAMU

Rais William Ruto sasa anaitaka Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru Humu Nchini (KRA) kukoma kutoa leseni kwa watu binafsi na mashirika yanayoagiza pombe kale...