Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact

Category: Uncategorized

  • Home
  • Uncategorized

Serikali yakana inapanga kuongeza karo ya vyuo vikuu (Audio)

December 8, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Serikali yakana inapanga kuongeza karo ya vyuo vikuu (Audio)

Serikali imekanusha ripoti kuwa ina mipango ya kuongeze karo ya vyuo vikuu kutoka shilingi elfu 16,000 hadi shilingi 48,000. Katibu […]

Uncategorized

Shule kufunguliwa tarehe 4 Januari mwakani (Audio)

November 16, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Shule kufunguliwa tarehe 4 Januari mwakani (Audio)

Wanafunzi wote watarejea shuleni tarehe nne Janauri mwaka ujao kwa muhula wao wa pili. Tangazo hili limetolewa na Waziri wa […]

Uncategorized

Mtu mmoja afariki, magari mawili yakishika moto barabara kuu ya Mombasa

November 16, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Mtu mmoja afariki, magari mawili yakishika moto barabara kuu ya Mombasa

Mtu mmoja ameaga dunia  na wengine wanne kujehuriwa katika ajali ya barabara iliyotokea mapema hii leo katika eneo la Kapiti, […]

Uncategorized

Ruto aunga mkono BBI kurekebishwa

November 9, 2020November 9, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Ruto aunga mkono BBI kurekebishwa

Naibu Rais William Ruto ameonekana kuuunga mkono viongozi kutoka jamii ya wafugaji, baraza la kidini nchini NCCK, baadhi ya makundi […]

Uncategorized

Wanafuzi wa vyuo vikuu wasema ‘hawataomoka’ na BBI

November 3, 2020November 3, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Wanafuzi wa vyuo vikuu wasema ‘hawataomoka’ na BBI

Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu sasa wanasema wanaipinga ripoti ya BBI na wanawataka wakenya kuiangusha. Vijana hao […]

Uncategorized

Odinga aelekea DR Congo kwa ziara ya siku mbili

October 28, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Odinga aelekea DR Congo kwa ziara ya siku mbili

Mwakilishi Mkuu wa miundo msingi katika muungano wa AU Raila Odinga ameondoka nchini kueleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa […]

Uncategorized

Msako wa wanaokiuka masharti ya kuzuia corona waendeshwa Mombasa

October 27, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Msako wa wanaokiuka masharti ya kuzuia corona waendeshwa Mombasa

Maafisa wa polisi wamewakamata baadhi ya abiria na wamiliki wa matatu katika kaunti ya Mombasa mapema hii leo kwa kukosa […]

Uncategorized

Bunge la kaunti ya Mombasa lafungwa

October 27, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Bunge la kaunti ya Mombasa lafungwa

Bunge la kaunti ya Mombasa limefungwa kwa muda wa majuma mawili baada ya waakilishi wadi watatu kupatikana na virusi vya […]

Uncategorized

Katibu aliyeachishwa kazi na serikali kulipwa fidia ya shilingi moja (Ksh 1)

October 22, 2020October 22, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Katibu aliyeachishwa kazi na serikali kulipwa fidia ya shilingi moja (Ksh 1)

Aliyekuwa katibu katika wizara ya vijana na jinsia Lillian Omollo atalipwa shilingi moja na serikali kwa kumuachisha kazi. Ndio agizo […]

Uncategorized

Rais Kenyatta afanya mkutano na viongozi wa Nyanza

October 22, 2020October 22, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Rais Kenyatta afanya mkutano na viongozi wa Nyanza

Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa chama cha ODM Raila Odiga kwa sasa wanafanya mkutano wa faragha na baadhi ya […]

Uncategorized

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa Wendani wa Ruto wakutana Jubilee

    Wabunge wapatao 38 wendani wa naibu rais William Ruto wamefanya mkutano wa...

  • Health/ Afya Watu 151 zaidi wakutwa na corona, nne wakifariki

    Idadi ya visa vya ugonjwa wa corona nchini imeongezeka na kufikia 38,529 ba...

  • Uncategorized Rais Uhuru Kenyatta kulihutubia taifa leo

    Rais Uhuru Kenyatta hii leo anatazamiwa kulihutubia taifa kutoa mustakabali...

  • Uncategorized Rais Kenyatta yuko Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali

    Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali ambapo...

  • Politics/Siasa Jamii za Shona na Wanubi zataka kutambuliwa

    Tume ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imeitaka serikali ya Kenya kuwata...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • Uchaguzi Msambweni: Sharlet Mariam arudi ODM Muwaniaji huru kwenye uchaguzi mdogo wa Msambweni Sharl... 11 views per day
  • Tathmini: Nini kinafuata baada ya Joe Biden kushinda uchaguzi Marekani? Wengi wanajiuliza, je nini kinafuatia baada ya Joe Bide... 8 views per day
  • Rais Kenyatta awataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi Rais Uhuru Kenyatta amewakumbusha watumishi wa umma kuw... 8 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • facebook
  • twitter