Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact

Category: Crime/ Uhalifu

  • Home
  • Crime/ Uhalifu

Mchungaji aliyewabaka na kuwapachika mimba binti zake ahukumiwa miaka 140 gerezani

January 14, 2021 Douglas OmaribaLeave a Comment on Mchungaji aliyewabaka na kuwapachika mimba binti zake ahukumiwa miaka 140 gerezani

Mwanaume aliyekiri kuwabaka na kuwapachika mimba binti zake wawili katika eneobunge la Ndia kaunti ya Kirinyaga amehukumiwa kifungo cha miaka […]

Crime/ Uhalifu

Shule ya wasichana ya Lugulu yafungwa baada ya madai ya ubakaji shuleni

December 9, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Shule ya wasichana ya Lugulu yafungwa baada ya madai ya ubakaji shuleni

Shule ya wasichana ya Lugulu kaunti ya Bungoma imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi kuandamana kulalamikia madai ya ubakaji […]

Crime/ Uhalifu

Mwanafunzi alilia haki baada ya kuchapwa na mwalimu – Eldoret

December 9, 2020 Douglas OmaribaLeave a Comment on Mwanafunzi alilia haki baada ya kuchapwa na mwalimu – Eldoret

Mwanafunzi mmoja wakike kutoka shule moja ya upili iliyoko mjini Eldoret kaunti ya Uasin Gishu anauguza majeraha katika hosipitali moja […]

Crime/ Uhalifu

Jamaa amkata mwenzake mkono kwa sababu ya deni la Sh150 Migori

December 7, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Jamaa amkata mwenzake mkono kwa sababu ya deni la Sh150 Migori

Mwanamme mmoja amelazwa katika hospitali ya Rapcom huko Awendo, kaunti ya Migori baada ya mkono wake kukatwa kwa panga kufuatia […]

Crime/ Uhalifu

Kampeini ya kupinga dhulma za kijinsia yaanza

November 25, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Kampeini ya kupinga dhulma za kijinsia yaanza

Kenya imejiunga na Ulimwengu kuadhimisha siku ya kimataifa ya kumaliza dhulma dhidi ya wanawake. Aidha hii ni mwanzo wa kampeni […]

Crime/ Uhalifu

Uchunguzi kuhusu ghasia za 2007/2008 wafufuliwa

November 23, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Uchunguzi kuhusu ghasia za 2007/2008 wafufuliwa

Waathiriwa wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007/008 wameandikisha taarifa katika makao makuu ya idara ya upelelezi […]

Crime/ Uhalifu

Washukiwa wa mauji wakamatwa Narok

November 5, 2020November 5, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Washukiwa wa mauji wakamatwa Narok

Makachero kutoka idara ya upelelezi DCI wamewashika washukiwa wawili kuhusiana na mauaji ya jamaa mmoja ambaye mwili wake ulipatikana kando […]

Crime/ Uhalifu

Polisi muuaji kuzuiliwa zaidi

October 23, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Polisi muuaji kuzuiliwa zaidi

Nancy Njeri, Polisi wa kike kutoka Makueni anayedaiwa kumjeruhi wakili Onesmus Masaku kwa kumkata mikono na kusababisha kifo chake atazuiliwa […]

Crime/ Uhalifu

Mama akamatwa Mlolongo kwa kujaribu kuuza mtoto

October 23, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Mama akamatwa Mlolongo kwa kujaribu kuuza mtoto

Mwanamke mmoja amekamatwa kwa madai ya kujaribu kumuuza mwanawe mchanga katika eneo la Mlolongo, kaunti ya Machakos. Naibu kaunti kamishna […]

Crime/ Uhalifu

Viongozi wakemea tukio ambapo wakili alikufa baada ya kukatwa mikono

October 20, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Viongozi wakemea tukio ambapo wakili alikufa baada ya kukatwa mikono

Viongozi mbali mbali katika kaunti ya Makueni wanaendelea kulaani kisa kilichopelekea kifo cha wakili Onesmus Masaku.      Wakizungumza katika sherehe […]

Crime/ Uhalifu

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa Wendani wa Ruto wakutana Jubilee

    Wabunge wapatao 38 wendani wa naibu rais William Ruto wamefanya mkutano wa...

  • Health/ Afya Watu 151 zaidi wakutwa na corona, nne wakifariki

    Idadi ya visa vya ugonjwa wa corona nchini imeongezeka na kufikia 38,529 ba...

  • Uncategorized Rais Uhuru Kenyatta kulihutubia taifa leo

    Rais Uhuru Kenyatta hii leo anatazamiwa kulihutubia taifa kutoa mustakabali...

  • Uncategorized Rais Kenyatta yuko Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali

    Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali ambapo...

  • Politics/Siasa Jamii za Shona na Wanubi zataka kutambuliwa

    Tume ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imeitaka serikali ya Kenya kuwata...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • Uchaguzi Msambweni: Sharlet Mariam arudi ODM Muwaniaji huru kwenye uchaguzi mdogo wa Msambweni Sharl... 11 views per day
  • Tathmini: Nini kinafuata baada ya Joe Biden kushinda uchaguzi Marekani? Wengi wanajiuliza, je nini kinafuatia baada ya Joe Bide... 8 views per day
  • Rais Kenyatta awataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi Rais Uhuru Kenyatta amewakumbusha watumishi wa umma kuw... 8 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • facebook
  • twitter