Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact

Category: Politics/Siasa

  • Home
  • Politics/Siasa

Anne Kananu ndiye naibu gavana wa Nairobi

January 15, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Anne Kananu ndiye naibu gavana wa Nairobi

Anne Kananu Mwenda ameapishwa rasmi kuwa naibu gavana wa kaunti ya Nairobi dakika chache baada ya kuidhinishwa na bunge la […]

Politics/Siasa

Ruto kuwa na mgombea kwenye uchaguzi wa useneta Machakos

January 14, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Ruto kuwa na mgombea kwenye uchaguzi wa useneta Machakos

Wawaniaji mbalimbali katika kiti cha Useneta kaunti ya Machakos wameelewana kuwa watamuunga mkono Urbanus Mutunga Ngengele baada ya kushawishiwa na […]

Politics/Siasa

ICJ wapinga marekebisho ya katiba kupitia BBI

January 14, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on ICJ wapinga marekebisho ya katiba kupitia BBI

Muungano wa mawakili (ICJ) tawi la Kenya umetangaza kuwa kupinga marekebisho ya katiba kupitia kwa BBI. Katika taarifa, mwenyekiti wa […]

Politics/Siasa

Bendera ya Wiper Machakos kupeperushwa na Agnes Kavindu

January 13, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Bendera ya Wiper Machakos kupeperushwa na Agnes Kavindu

Agnes Kavindu ndiye atapeperusha bendera ya chama cha Wiper katika uchaguzi mdogo wa useneta kaunti ya Machakos. Akizungumza alipomkabidhi cheti, […]

Politics/Siasa

Chama cha Jubilee hakitashiriki katika chaguzi ndogo za Machakos, Matungu na Kabuchai

January 13, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Chama cha Jubilee hakitashiriki katika chaguzi ndogo za Machakos, Matungu na Kabuchai

Chama tawala cha Jubilee kimesema hakitakuwa na mgombea katika kiti cha useneta kaunti ya Machakos pamoja na maeneo bunge ya […]

Politics/Siasa

Odinga amsuta Ruto kwa kuwahadaa Wakenya

January 13, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Odinga amsuta Ruto kwa kuwahadaa Wakenya

Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amemsuta naibu rais William Ruto kutokana na kile ametaja kama kuwahadaa Wakenya. Odinga […]

Politics/Siasa

Chama cha Mudavadi chatishia kumbandua naibu rais William Ruto

January 12, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Chama cha Mudavadi chatishia kumbandua naibu rais William Ruto

Baadhi ya wabunge wa chama cha Amani National Congress (ANC) kinachoongozwa na Musalia Mudavadi wamemkashifu naibu rais Wiliam Ruto kwa […]

Politics/Siasa

Uhuru azindua miradi ya maendeleo Mombasa

December 10, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Uhuru azindua miradi ya maendeleo Mombasa

Rais Uhuru Kenyatta amezindua miradi ya maendeleo katika kaunti ya Mombasa anapolenga kuhakikisha kuwa maendeleo yamefika mashinani. Akiwa ameandamana na […]

Politics/Siasa

IEBC yapokea sahihi za BBI

December 10, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on IEBC yapokea sahihi za BBI

Hatimaye saini za BBI zilizokusanywa wiki iliyopita zimewasilishwa kwa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kwa ukaguzi. Mwenyekiti wa […]

Politics/Siasa

Kenya yajiunga na Ulimwengu kuadhimisha siku ya kupinga Ufisadi

December 9, 2020 Felix AsohaLeave a Comment on Kenya yajiunga na Ulimwengu kuadhimisha siku ya kupinga Ufisadi

Serikali inajikakamua kuweka mikakati kabambe kuzuia ufisadi katika asasi mbalimbali za serikali. Hili ndilo hakikisho linalotolewa na rais Uhuru Kenyatta […]

Politics/Siasa

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa Wendani wa Ruto wakutana Jubilee

    Wabunge wapatao 38 wendani wa naibu rais William Ruto wamefanya mkutano wa...

  • Health/ Afya Watu 151 zaidi wakutwa na corona, nne wakifariki

    Idadi ya visa vya ugonjwa wa corona nchini imeongezeka na kufikia 38,529 ba...

  • Uncategorized Rais Uhuru Kenyatta kulihutubia taifa leo

    Rais Uhuru Kenyatta hii leo anatazamiwa kulihutubia taifa kutoa mustakabali...

  • Uncategorized Rais Kenyatta yuko Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali

    Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali ambapo...

  • Politics/Siasa Jamii za Shona na Wanubi zataka kutambuliwa

    Tume ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imeitaka serikali ya Kenya kuwata...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • Uchaguzi Msambweni: Sharlet Mariam arudi ODM Muwaniaji huru kwenye uchaguzi mdogo wa Msambweni Sharl... 11 views per day
  • Tathmini: Nini kinafuata baada ya Joe Biden kushinda uchaguzi Marekani? Wengi wanajiuliza, je nini kinafuatia baada ya Joe Bide... 8 views per day
  • Rais Kenyatta awataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi Rais Uhuru Kenyatta amewakumbusha watumishi wa umma kuw... 8 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • facebook
  • twitter