Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact

Category: Education/ELimu

  • Home
  • Education/ELimu

Wavulana wavamia bweni la wasichana Nakuru

April 9, 2021 Douglas OmaribaLeave a Comment on Wavulana wavamia bweni la wasichana Nakuru

Wanafunzi kumi kutoka shule ya upili ya wavulana ya Anestar kaunti ya Nakuru wanazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai […]

Education/ELimu

Mshukiwa mkuu wa wizi wa mtihani wa KCSE ashikwa Homa Bay

April 8, 2021April 8, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Mshukiwa mkuu wa wizi wa mtihani wa KCSE ashikwa Homa Bay

Makachero kutoka idara ya upelelezi (DCI) wamemshika mwalimu anayedaiwa kuwa mshukiwa mkuu wa visa vya wizi wa mtihani wa KCSE […]

Education/ELimu

Matokeo ya KCPE kutoka chini ya wiki mbili

April 6, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Matokeo ya KCPE kutoka chini ya wiki mbili

Matokeo ya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE yanatarajiwa kutolewa chini ya majuma mawili yajayo. Waziri wa Elimu […]

Education/ELimu

Mtihani wa KCPE wangoa nanga kote nchini

March 22, 2021 Douglas OmaribaLeave a Comment on Mtihani wa KCPE wangoa nanga kote nchini

Mtihani wa kitaifa wa darasa la nane wa KCPE umengoa nanga kote nchini hii leo huku watahiniwa million moja, elfu […]

Education/ELimu

Serikali yasema kila kitu ki shwari kabla ya KCPE na KCSE

March 16, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Serikali yasema kila kitu ki shwari kabla ya KCPE na KCSE

Serikali imetoa hakikisho kwamba imeweka mikakati makhususi kuhakikisha kwamba mitihani ya kitaifa inaendelea kote nchini pasipo kutatizika. Msemaji wa serikali […]

Education/ELimu

Shule kufungwa wiki hii kuruhusu mitihani ya kitaifa

March 15, 2021 Douglas OmaribaLeave a Comment on Shule kufungwa wiki hii kuruhusu mitihani ya kitaifa

Shule zinatazamiwa kufungwa kabla ya Ijumaa wiki hii kuruhusu maandalizi ya mitihani ya kitaifa ya darasa la nane KCPE na […]

Education/ELimu

Waalimu waanza kupata chanjoya corona

March 11, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Waalimu waanza kupata chanjoya corona

Waalimu wameanza kupata chanjo ya corona huku wizara ya afya ikiwalenga zaidi ya walimu 200,000. Akiongoza uzinduzi wa chanjo hiyo, […]

Education/ELimu

TSC yakatiza likizo ya wafanyikazi wake

March 4, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on TSC yakatiza likizo ya wafanyikazi wake

Tume ya huduma za walimu (TSC) imewataka wafanyikazi wake walioko kwenye likizo wakati huu kukatiza likizo na kurejea kazini Jumatatu […]

Education/ELimu

Popular Posts

  • Politics/Siasa Wendani wa Ruto wakutana Jubilee

    Wabunge wapatao 38 wendani wa naibu rais William Ruto wamefanya mkutano wa...

  • Health/ Afya Watu 151 zaidi wakutwa na corona, nne wakifariki

    Idadi ya visa vya ugonjwa wa corona nchini imeongezeka na kufikia 38,529 ba...

  • Uncategorized Rais Uhuru Kenyatta kulihutubia taifa leo

    Rais Uhuru Kenyatta hii leo anatazamiwa kulihutubia taifa kutoa mustakabali...

  • Uncategorized Rais Kenyatta yuko Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali

    Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali ambapo...

  • Politics/Siasa Jamii za Shona na Wanubi zataka kutambuliwa

    Tume ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imeitaka serikali ya Kenya kuwata...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • Uchaguzi Msambweni: Sharlet Mariam arudi ODM Muwaniaji huru kwenye uchaguzi mdogo wa Msambweni Sharl... 11 views per day
  • Tathmini: Nini kinafuata baada ya Joe Biden kushinda uchaguzi Marekani? Wengi wanajiuliza, je nini kinafuatia baada ya Joe Bide... 8 views per day
  • Rais Kenyatta awataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi Rais Uhuru Kenyatta amewakumbusha watumishi wa umma kuw... 8 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • facebook
  • twitter