Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact

Category: Courts/ Mahakama

  • Home
  • Courts/ Mahakama

Mahakama yawazuilia washukiwa wawili wa mauaji ya Wanjiru

February 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Mahakama yawazuilia washukiwa wawili wa mauaji ya Wanjiru

Washukiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mfanyibiashara Caroline Wanjiku watazuiliwa kwa siku kumi zaidi kuwaruhusu Polisi kukamilisha uchunguzi. Uamuzi […]

Courts/ Mahakama

Baba anayetuhumiwa kuwakomboa watu waliomuaa mwanawe azuiliwa

February 26, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Baba anayetuhumiwa kuwakomboa watu waliomuaa mwanawe azuiliwa

Baba anayedaiwa kuwalipa watu kumuua mwanawe wa kiume eneo la Wendiga kaunti ya Nyeri atazuiliwa kwa muda wa siku tano […]

Courts/ Mahakama

MCA wa Karen David Mberia jela miaka mitatu kwa kula hongo

February 25, 2021February 25, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on MCA wa Karen David Mberia jela miaka mitatu kwa kula hongo

Mwakilishi wadi wa Karen kaunti ya Nairobi David Mberia amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au alipe faini ya Sh700,000 […]

Courts/ Mahakama

Kesi ya Obado kusikilizwa Nairobi

February 24, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kesi ya Obado kusikilizwa Nairobi

Kesi ya ufisadi inayomkabili Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado na washukiwa wengine sasa itasikilizwa katika Mahakama kuu ya […]

Courts/ Mahakama

Kanjama mahakamani kupinga sahihi za BBI

February 24, 2021February 24, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kanjama mahakamani kupinga sahihi za BBI

Wakili Charles Kanjama amewasilisha kesi mahakamani kupinga shughuli ya kutathmini sahihi za mswada wa BBI iliyoendeshwa na tume ya uchaguzi […]

Courts/ Mahakama

Serikali yashtakiwa kuhusu mikopo ya magari kwa MCAs

February 22, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Serikali yashtakiwa kuhusu mikopo ya magari kwa MCAs

Serikali imeshtakiwa kufuatia azimio lake la kuwapa wawakilishi wadi mikopo ya kununua magari. Kwenye kesi yake, daktari Magare Gikenyi anahoji […]

Courts/ Mahakama

Wanaharakati wa MUHURI wakamatwa tena baada ya kuachiliwa

February 19, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Wanaharakati wa MUHURI wakamatwa tena baada ya kuachiliwa

Polisi wamewakamata tena mwenyekiti wa shirika la kutetea haki za kibinadamu la MUHURI Khelef Khalifa pamoja na mwenzake Francis Auma. […]

Courts/ Mahakama

Mwanafunzi aliyemchapa mwalimu afungwa miezi 18

February 16, 2021February 16, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Mwanafunzi aliyemchapa mwalimu afungwa miezi 18

Mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyekiri kumchapa na kumuumiza mwalimu wake amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi kumi na nane […]

Courts/ Mahakama

Sonko kushtakiwa kwa ugaidi baada ya kupona

February 16, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Sonko kushtakiwa kwa ugaidi baada ya kupona

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko atashtakiwa kwa ugaidi pindi atakapopona na kuruhusiwa kuondoka hospitalini. Uamuzi huu umetolewa na […]

Courts/ Mahakama

Waliowaibia marehemu wafikishwa mahakamani na kushtakiwa

February 16, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Waliowaibia marehemu wafikishwa mahakamani na kushtakiwa

Mwanamke mmoja ni miongoni mwa washukiwa wanne walioshtakiwa leo kwa kumuibia marehemu. Kwenye kosa la kwanza, washukiwa Muguna Mutembei na […]

Courts/ Mahakama

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Politics/Siasa Wendani wa Ruto wakutana Jubilee

    Wabunge wapatao 38 wendani wa naibu rais William Ruto wamefanya mkutano wa...

  • Health/ Afya Watu 151 zaidi wakutwa na corona, nne wakifariki

    Idadi ya visa vya ugonjwa wa corona nchini imeongezeka na kufikia 38,529 ba...

  • Uncategorized Rais Uhuru Kenyatta kulihutubia taifa leo

    Rais Uhuru Kenyatta hii leo anatazamiwa kulihutubia taifa kutoa mustakabali...

  • Uncategorized Rais Kenyatta yuko Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali

    Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya serikali ambapo...

  • Politics/Siasa Jamii za Shona na Wanubi zataka kutambuliwa

    Tume ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imeitaka serikali ya Kenya kuwata...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • Uchaguzi Msambweni: Sharlet Mariam arudi ODM Muwaniaji huru kwenye uchaguzi mdogo wa Msambweni Sharl... 11 views per day
  • Tathmini: Nini kinafuata baada ya Joe Biden kushinda uchaguzi Marekani? Wengi wanajiuliza, je nini kinafuatia baada ya Joe Bide... 8 views per day
  • Rais Kenyatta awataka watumishi wa umma kuwahudumia wananchi Rais Uhuru Kenyatta amewakumbusha watumishi wa umma kuw... 8 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • facebook
  • twitter