Skip to content
  •   Nairobi, Upperhill, Kenya
  •   0724 699 622 / 0202 728 304
  • facebook
  • twitter
Biblia Husema Broadcasting.

Biblia Husema Broadcasting.

Romans 10:17

  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers

Category: Devolution/ Ugatuzi

  • Home
  • Devolution/ Ugatuzi

Tume ya jinsia yaadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa

August 30, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Tume ya jinsia yaadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa

Tume ya usawa wa jinsia nchini (NGEC) imeadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa kwake kushinikiza kuwepo kwa usawa katika nafasi za […]

Devolution/ Ugatuzi, Politics/Siasa

Magavana wataka bunge lipitishe BBI

August 23, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Magavana wataka bunge lipitishe BBI

Baraza la Magavana limesema litashirikiana na bunge kushinikiza marekebisho ya katiba ili mgao wa serikali za kaunti kuongezwa. Hii ni […]

Devolution/ Ugatuzi

Kongamano la Ugatuzi Makueni lahairishwa kufuatia corona

August 19, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Kongamano la Ugatuzi Makueni lahairishwa kufuatia corona

Kongamano la saba la Ugatuzi lililokuwa liandaliwe wiki ijayo Agosti 23-26 katika kaunti ya Makueni limehairishwa kwa sababu ya corona. […]

Devolution/ Ugatuzi

James Gesami aaspishwa kuwa naibu gavana wa Nyamira

August 9, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on James Gesami aaspishwa kuwa naibu gavana wa Nyamira

Bunge la kaunti ya Nyamira limeidhinisha uteuzi wa Dr James Gesami Ondicho kuwa naibu Gavana wa kaunti hiyo. Gesami sasa […]

Devolution/ Ugatuzi

Waziri Yatani alipa madeni ya serikali za kaunti

July 2, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Waziri Yatani alipa madeni ya serikali za kaunti

Wizara ya fedha imetuma deni la Sh26.9b kwa serikali za kaunti pesa zilizokuwa zimesalia kwa kipindi cha matumizi ya fedha […]

Devolution/ Ugatuzi

Madiwani wa Kisii wapitisha bajeti bila vita

June 30, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Madiwani wa Kisii wapitisha bajeti bila vita

Bunge la kaunti ya Kisii kwa kauli moja limepitisha bajeti ya mwaka 2021-2022 inayogharimu Sh12.5b. Bajeti hiyo imepitishwa baada ya […]

Devolution/ Ugatuzi

Ugatuzi wasifiwa kwenye kongamano la Nairobi

June 29, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Ugatuzi wasifiwa kwenye kongamano la Nairobi

Hatua zilizopigwa katika kuleta huduma karibu na mwananchi zimeangaziwa kwenye kongamano la Ugatuzi lililoandaliwa Jumanne jijini Nairobi. Mwenyekiti wa baraza […]

Devolution/ Ugatuzi

Waziri Yatani atumia kaunti pesa zao

June 23, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Waziri Yatani atumia kaunti pesa zao

Wizara ya fedha imetoa Sh43.5b zaidi kwa serikali za kaunti kulipa madeni wanayodaiwa na wafanyibiashara. Waziri wa fedha balozi Ukur […]

Devolution/ Ugatuzi

Magavana watishia kufunga kaunti kwa kukosa pesa

June 14, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Magavana watishia kufunga kaunti kwa kukosa pesa

Baraza la Magavana limetishia kusitisha utoaji wa huduma katika kaunti zote 47 wiki ijayo iwapo wizara ya fedha haitawapa shilingi […]

Devolution/ Ugatuzi

Maseneta wawasuta magavana kwa kuzifilisi kaunti

June 2, 2021 Felix AsohaLeave a Comment on Maseneta wawasuta magavana kwa kuzifilisi kaunti

Maseneta wamewashutumu magavana kwa kusimamia wizi wa pesa katika serikali za kaunti. Wakiongozwa na seneta wa Kakamega Cleophas Malala, maseneta […]

Devolution/ Ugatuzi

Posts navigation

Older posts

Popular Posts

  • Blog James Mahmi Arejea Truth FM

    Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Kituo Cha Truth FM.&nb...

  • Parliament/Bunge , Politics/Siasa , Uncategorized TUPE MUELEKEO DHABITI AU UFYATE MDOMO WANDANI WA ODINGA WAMWAMBIA

    Baadhi ya wandani wa Kinara wa Azimio One Kenya Raila Odinga sasa wametanga...

  • Politics/Siasa UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga

    Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia kuwasilisha kesi maha...

  • Uncategorized Mitihani ya KCPE na KPSEA Yangoa Nanga.

    Mitihani ya kitaifa ya darasa la nane KCPE na gredi ya sita KPSEA imeanza r...

  • Crime/ Uhalifu , Death/ Vifo , International/ Kimataifa , Security/Usalama Kikosi Cha Tatu Cha Wanajeshi Wa Kenya Chatumwa DRC.

    Taifa la Kenya limetuma kikosi cha tatu cha wanajeshi wa kudumisha amani ka...

|Donate

We are continually growing our reach to the unreached. We thank the support and Prayers of both our listeners and partners. Our Paybill number is 332550 Account is 967

|Zinarojiri

  • James Mahmi Arejea Truth FM Mtangazaji tajika wa Injili James Mahmi amejiunga na Ki... 8 views per day
  • TUPE MUELEKEO DHABITI AU UFYATE MDOMO WANDANI WA ODINGA WAMWAMBIA Baadhi ya wandani wa Kinara wa Azimio One Kenya Raila O... 1.38 views per day
  • UDA kupinga matokeo ya uchaguzi wa Muguga Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimetishia k... 1.09 views per day

|Address

P.O Box 45019-00100 UpperHill, Nairobi

Phone : 0202 728 304, 0724 699 622

Email : info@bibliahusema.org,                                          marketing@bibliahusema.org

|Links

  • Staff Login
  • Home
  • About
  • Programme Guide
  • News
  • Mission Stations
    • Kakuma
    • Marsabit – Chalbi 91.1Fm
    • Lokichogio
  • Contact
  • Careers